ongea unachotaka (lakini bila matusi, tafadhali!)
Kuna Ngoma Kali ya Hip Hop kutoka Nairobi Kenya cha kikosi cha Span 1 kinaitwa Biashara.Mwaweza kukisikia hapa kisha mtupe maoni. www.myspace.com/deegahgah Tutafurahia sana maoni yenu yote.
eh bwana safi sana tu