yoooooooooooo my name is Mwajuma saida i am a CAP AIDS OF VANCOUVER CANADA B.C SASA Ukimwi husababishwa na kirusi cha HIV. Kirusi hiki hushambulia kinga ya mwili na kuusababisha ushindwe kupigana na magonjwa. Inaweza kuchukua miaka mingi kwa dalili za ugonjwa kujionyesha tokea unapoambukizwa. Hivyo mtu akionekana ya kwamba ana siha nzuri, siyo kwamba mtu huyu hajambukizwa virusi vya HIV.SALAAAAAAAMA
--- --- --- --- --- --- --- --- ---
Replying to:
EEEEEEEEEEEEEEEEEEEH
NAAMINI MAMBO SIO MABAYA
ILI KUMBUKA UKIMWI UPO KILA MAHALI HATA
KWAKO AU KWANGU