Heeey Masela kutoka Sinza Mambo vipi?
Mi nakaa huko Netherland Na tafuta Masela wakupiga nao michapo!!!!
Simna jua tena huku kwetu Holland Bangi unalusiwa hadi kanisani kuvuta Hi
Me acha uzushi we ni mwila kutoka kia klulee Arusha aha.Acha kuzingua Machizi wako kutoka Uru tunakupa hii.Mi nikuringe mzee wa habari nyepesi nyepesi nawakilisha toka bongo hadi Australia babaake usikonde sinza ndio home kokote tutakwenda lakini abajalo ni home babaake.
Heey Masela Mi Natokea Sinza Kwa wa Janja Haa nilizaliwa Iringa !!!!
Hila minawasalimia Nyimasela mi niko Netherlands
Peace up brothers
P.s mkitaka kuwasiliana na mimi email yanyu iko hapo!!!!!
heeej Sinza madukani
hila mitaa ya Sinza ster footbal clab!!
siuna ijua
Huna mjua Siaba nini
mi wana niitaga Jose
Heej nilikuwa na kaa kwa mama Jerry
SINZA STER
We mzushi vipi wewe!! mi nimepiga buku kuliko wewe Usitake kunizingua!!
Ivyo nilvyo andika nikwaki Dutch kama auwezi kusoma nendashule!! Hi,,,
Je moet geen groot bek trekken waarvan je helemaar niks van begrijpen!! snap je!!
Tafhili unavyo weza!!!! Tip: Nilivyo andika sio matusi
Peace Brother!!!