ongea unachotaka (lakini bila matusi, tafadhali!)
mimi kama kijana wenu nawaomba wazazi muwe na maamuzi ya pamoja kwa kila siku kunakuwa na mizozo ona sasa mtu anaziba njia sasa sisi ndugu zako tutapita wapi muogope MUNGU upate swawabu
punguza jazba kijana.waeleze ukweli wanaokukosea.si vizuri kuwa na hasila.
Kijana MUNGU anasamehe na wewe samehe pia,mshinde shetani hata vitabu vina2ambia.waambie 2 ukweli ndugu yangu